Friday, 24 June 2011 11:41

Ratiba ya Chakula cha Mtoto Kuanzia Miezi 9 Mpaka Miaka 6

Written by 
Rate this item
(5 votes)

Na Issa Kapande

Ni muhimu kwa mzazi/ mlezi kufahamu aina ya chakula kimfaacho mtoto wake hususani yule aliye katika umri wa miezi tisa na nusu mpaka miaka sita. Aina hizi za vyakula na jinsi ya uandaaji wake hutofautiana sana na zile anazokula mtoto mkubwa au mtu mzima. Leo, mtaalamu wetu wa mapishi, Chef Issa anatuletelea ratiba ya chakula cha mtoto wa umri huo.

 

                                                                                                                                         Katika makala zijazo, Chef Issa atatuletea jinsi na namna ya kuandaa milo hiyo katika siku hizo kulingana na ratiba. Kwa maelezo zaidi, tembelea blog ya www.activechef.blogspot.com ambapo Chef Issa anachambua na kuelezea namna ya kuandaa mapishi mbali mbali kwa ufundi na ubora wa hali ya juu. Kwa mawasiliano, unaweza kumuandikia kupitia email yake ya This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Read 8853 times Last modified on Saturday, 31 December 2011 02:15
Issa Kapande

Website: activechef.blogspot.com/ Email This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

HEADER

Activechef
0Activechef2011-06-25 15:28#4
Kwa alie uliza swali la chakula hiki kama kinawafaa watu wazima, ndio baadhai ya vyakula watu wazima wanaweza tumia na vikafanya kazi kama kawaida na baadhi ya vyakula havina faida kwa mtu mzima kwasasa nashughulikia kuandaa menu kwajili ya watu wazima. Chef Issa
Quote
Activechef
0Activechef2011-06-25 15:28#3
Kwa alie uliza swali la chakula hiki kama kinawafaa watu wazima, ndio baadhai ya vyakula watu wazima wanaweza tumia na vikafanya kazi kama kawaida na baadhi ya vyakula havina faida kwa mtu mzima kwasasa nashughulikia kuandaa menu kwajili ya watu wazima. Chef Issa
Quote
Mose
0Mose2011-06-24 15:11#2
Tunashukuru kwa kutuletea somo la mapishi zaidi kabisa,nina swali dogo,je mlo kama huu pia unawafaa wazee?
Quote
Mose
0Mose2011-06-24 15:11#1
Tunashukuru kwa kutuletea somo la mapishi zaidi kabisa,nina swali dogo,je mlo kama huu pia unawafaa wazee?
Quote

Add comment


Security code


Refresh

Fuatilia Makala

Maoni Mapya